JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bajeti kuu ya Serikali yawasilishwa Bungeni

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewasilisha bajeti yake kuu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 huku ikianisha vipaumbele mbalimbali ikiwemo kuondoa ada kwa wanafunzi wa kidato cha nne ambao watakuwa wakichaguliwa kujiunga na Vyuo vya ufundi pamoja na kuondoa kodi…

Vifo vya uzazi kwa mama na mtoto vyapungua Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Vifo vya uzazi kwa mama Mkoani Pwani vimepungua kutoka vifo 96 kwa mwaka 2018 kati ya akinamama waliofika vituoni 43,488 hadi kufikia vifo 35  kwa mwaka 2022 kati ya akinamama 56,439. Aidha Vifo vya watoto…

Rais Dkt.Mwinyi azungumza na ujumbe wa UNESCO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mkurugenzi Mkaazi wa UNESCO Kanda ya Afrika Mashariki Prof. Hubert Gijzen (kulia kwa Rais) akiwa na Ujumbe wake walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo…

Mwigulu aeleza hali ya uchumi, pato mtu mmoja mmoja laongezeka

Serikali kupitia Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Mwigulu Nchemba ametoa taarifa ya hali ya uchumi wa nchi ambapo amesema kwa hali ilivyo inaendelea kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ngazi ya chini. Ameyasema hayo leo Juni 15, 2023…

Watendaji watakiwa kutoa fursa kwa wamiliki wa ardhi kwa wawekezaji

Watendaji wa Serikali wametakiwa kutoa fursa kwa wamiliki wa ardhi kunufaika na maeneo wanayomiliki pindi wawekezaji wanapohitaji ardhi kwa ajili ya uwekezaji. Hayo yameelezwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 16, 2023 bungeni wakati akiwasilisha…