JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ruvuma ilivyofanikiwa kutoa chanjo kwa zaidi ya asilimia 10

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea Mkoa wa Ruvuma umefanikiwa kutoa chanjo mbalimbali ikiwemo chanjo kwa Watoto chini ya miaka mitano kwa asilimia zaidi ya 100 hadi kufikia Juni 2023. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezitaja chanjo hizo …

Polisi: Marufuku kuandamana Jumatatu

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limeyapiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika Jumatatu 19,2023 kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam huku likiwataka Wananchi kutoshiriki maandamano hayo. Akiongea Dar es Salaam , Kamanda wa Polisi Kanda Maalum…

RC Tabora atoa siku saba kampuni ya tumbaku kulipa wakulima bil.20/-

Serikali mkoani Tabora imeiagiza kampuni ya Voedsel inayojihusisha na ununuzi wa zao la tumbaku mkoani hapa kulipata deni la wakulima kiasi cha sh bil 20 ndani ya siku 7. Agizo hilo limetolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi…

Rais Samia apokea gawio la bil.45.4/- kutoka NMB

Baadhi ya viongozi wa serikali, wafanyakazi wa Benki ya NMB, viongozi wa dini pamoja wateja wa Benki ya NMB wakiwa katika katika hafla ya kuadhimisha miaka 25 ya  Mafanikio ya Benki ya NMB iliyofanyika leo tarehe 17/6/2023 katika Ukumbi wa…

Chongolo: Tukichezea vyanzo vya maji, tunachezea uhai wetu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo wakuu wa Wilaya, wenye viti wa Serikali za mitaa na watendaji wa vijiji kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika kutunza vyanzo vya maji na uhifadhi wa mazingira….