JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Majaliwa:Hatutadharau maoni, ushauri kuhusu uwekezaji bandari

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Pia, Mheshimiwa Majaliwa amewataka Watanzania waendelee kuwa na imani na Serikali pamoja na…

Shirika la STEMM lafanikisha kambi ya huduma ya afya bure Singida

Kwa kuwagusa wananchi wa maeneo ya vijijini Tanzania, Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ameonyesha njia na kuongoza kwa vitendo mapambano dhidi ya adui maradhi katika nchi yetu. Baada ya kufanyika kambi ya huduma za afya kijijini Pohama kwa siku tano ambapo…

Kundo: Serikali kutoa mafunzo kwa wataalam wa TEHAMA zaidi ya 500

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Arusha Katika mwaka wa fedha 2023/2024, serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Hbari inatarajia kutoa mafunzo kwa wataalam zaidi ya 500 wa TEHAMA katika nyanja mbalimbali za TEHAMA. Utekelezaji wa majukumu hayo unaiwezesha…

Waajiri watakiwa kuwasilisha taarifa za wastaafu mapema kuwaondolea usumbufu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma.. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Patrobas Katambi,ameagiza waajiri wote wanawasilisha taarifa za kustaafu kwa mtumishi wake Katika kipindi cha miezi sita kabla ya kustaafu ili kuwapunguzia mateso ya…

Rostam: Mjadala kuhusu bandari ya Dar es Salaam na DP World unaendeshwa kishabiki

Viongozi mbalimbali nchini wakiwemo wanasiasa, viongozi wa dini wameitaka serikali kuwa na mijadala ya wazi hasa mijadala inayohusu tunu na mageuzi ya kisasa yanayokuza uchumi wa Taifa. Hayo yamebainishwa Juni 19,2023 jijini Dar es Salaam wakati wa mjadala wa kitaifa…

MSD yaanza rasmi zoezi la kuhesabu mali

Bohari ya Dawa (MSD) imeanza rasmi zoezi la kuhesabu mali kwa mujibu wa sheria. Zoezi hili la kuhesabu mali linategemewa kukamilika mwishoni mwa mwezi Juni 2023 ili kuanza mwaka mpya wa fedha. Katika kipindi hiki maghala yote ya MSD Makao…