JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wanafunzi Mkuranga kunufaika na mkakati wa lishe bora shuleni

Na Mwamvua Mwinyi, JAMHURI MEDIA Chalinze Lishe bora ni suala muhimu kwa afya ya binadamu, na ni kichocheo cha maendeleo ndani ya jamii. Katika sekta ya elimu ,lishe ni suala mtambuka ambalo linachagiza wadau wa elimu, wazazi,walezi na jamii ,kuchangia…

Ukosefu wa ofisi za madini Tarime, changamoto kwa wachimbaji

Na Helena Magabe, JAMHURI MEDIA Tarime. UKOSEFU wa ofisi za madini Wilayani Tarime ni changamoto kubwa kwa wachimbaji na wamiliki wa mashimo ya dhahabu. Licha ya kuwa Wilaya hii imejaliwa na Mwenyezi Mungu kuwa na madini ya dhahabu karibia kila…

Jafo awakumbusha Watanzania kutunza mazingira

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo, akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuongoza zoezi la  upatandaji miti lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Dodoma ikiwa ni sehemu…

IGP mstaafu Mwema azindua kitabu chake kinachozungumzia utawala na usimamizi wa sheria

Na Abel Paul wa Jeshi la Polis -Dar es Salaam Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (mstaafu,) Tanzania IGP Said Ally Mwema jana june 23,2023 amezindua kitabu alichokiandika chenye Sura Tisa na kichwa cha habari kisemacho POLISI,UTAWALA NA USIMAMIZI WA…

Yanga yamtambulisha kocha mkuu mpya

Timu ya Yanga SC imemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Miguel Angel Gamondi kuinoa timu hiyo msimu ujao akichukua nafasi ya Nasreddine Nabi aliyemaliza mkataba wake. Kocha huyo raia wa Argentina ametambulishwa leo Juni 24 na Ofisa Habari wa Klabu hiyo, Ally…

Watu 708 wapimwa moyo Pemba

……..………………….. Na Mwandishi Maalum , Pemba  Watu 708 wamepata huduma za upimaji na matibabu ya moyo  katika kambi maalum ya matibabu iliyofanyika katika  Hospitali ya Rufaa ya Abdulla Mzee iliyopo wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba. Kambi hiyo ya siku tano…