JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Rais Samia aitaka jamii iwajibike katika malezi ya watoto

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA, Arusha. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ametoa wito kwa wazazi, walezi pamoja na jamii kuwajibika katika kufuatilia mienendo ya watoto ili kubaini mabadiliko hasi ya kitabia yanapojitokeza. Rais Samia amesema hayo…

Rais Samia apewa tuzo kwa mchango wake katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Arusha PACHA:Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa Tuzo na Mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Tuzo hiyo imetolewa leo Juni 25,2023 kwa Rais Samia ikiwa…

Abate achangia mil.25/-ujenzi nyumba ya mwalimu madrasa Namtumbo

Na Cresensia Kapinga, Namtumbo. Abate wa Abasia ya hanga jimbo kuu katoriki la Songea mkoani Ruvuma amechangia kiasi cha Sh. Milioni 25 kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya mwalimu wa Madrsa katika kijiji cha Mtakanini kilichopo Wilayani Namtumbo mkoani humo….

Mo Dewji apata tuzo, amwaga sifa kwa Rais Samia

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam. Mfanyabiashara Mohammed Dewji, maarufu ‘Mo’, amesema mazingira rafiki yaliyowekwa na Rais Samia Suluhu Hassan yamechochea maendeleo ya viwanda na kuchochea biashara Mo pia ameshinda tuzo ya Afrika ya mzalishaji bora wa bidhaa…

Bilionea wa Microsoft atembelea Tanzania

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam Mmoja wa wanahisa wa kampuni mashuhuri duniani ya Microsoft na akihudumu kwa miaka 14 kama Mtendaji Mkuu wa Masuala ya Teknolojia katika kampuni hiyo maarufu duniani, Dkt. Nathan Myhrvold, leo Juni 25,…