JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

MSD yawanoa watumishi kada ya madereva

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Watumishi wa MSD wa kada ya udereva, wamejengewa uwezo kupitia mafunzo mbalimbali yanayoandaliwa na taasisi hasa katika eneo la huduma kwa wateja wakati wa usambazaji bidhaa za afya. Mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Morogoro yamekutanisha madereva wote…

Majaliwa: Mjadala wa bandari usiligawe taifa

……………………………… Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mjadala unaoendelea kuhusu uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam usiligawe Taifa kwa sababu Serikali ya awamu ya sita ni sikivu. “Mjadala unaoendelea kuhusu bandari ya Dar es Salaam usitugawe Watanzania. Usipelekee tukasambaratika. Tusitumie…

Mbunge Keysha: Msitishwe na kuogopa maneno ya DP World ni fursa kwa wananchi

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Dodoma Mbunge wa Viti Maalum Khadija Shaaban Taya (Keisha) amewaomba watu wenye ulemavu kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo na kutoa ufafanuzi kuhusu Suala la Bandari ya Dar es salaam kwani linakwenda kugusa maisha ya watanzania. TAYA…

Wananchi washauriwa kuacha tabia ya kununua dawa bila ushauri wa daktari

Na Severin Blasio, JamhuriMedia, Morogoro Wananchi wameshauriwa kuacha tabia ya kununua dawa na kutumia bila ushauri wa daktari na badala yake waende kwenye kituo cha kutoa huduma wapate ushauri wa kitaalam. Kauli hiyo imetolewa na mganga mfawidhi wa wa kituo…

 Chalamila awataka viongozi ngazi za Manispaa kutumia matokeo ya sensa kufanya maamzi

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka watendaji na viongozi katika ngazi za mitaa wilaya na manispaa kutumia matokeo ya takwimu za Sensa katika kufanya maamuzi. Chalamila ametoa agizo…