JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mkulima wa tumbaku ampongeza Rais Samia, aahidi kusaidiana na Serikali

Na Dvid John,Tabora Mkulima wa zao la Tumbaku wilayani Sikonge Mkoani Tabora Masoud Kilyamanda amempongeza Rais wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa harakati anazozifanya za kuhakikisha kuwa sekta ya kilimo inanufaisha walengwa hususani zao la tumbaku ambalo makampuni ya ununuzi…

Mwanafunzi TIA adaiwa kujinyonga kisa mapenzi

Mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu (TIA), mkoani Mtwara aliyetambulika kwa jina moja la Regan amekufa baada ya kujinyonga kwa kile kilichodaiwa ni kutokana na ugomvi wa kimapenzi. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara Nicodemus Katembo amethibitisha kutokea…

Prof: Lumumba: Kiswahili ni kitega uchumi

Na Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Prof. Patrick Lumumba amesema ukitaka kuelewa lugha ni lazima kutambua muktadha wake na Kiswahili ni kitega uchumi kinajitosheleza kisayansi kwa maendeleo ya watumiaji wa lugha hiyo. Prof. Lumumba amesema hayo Julai 5, 2023 Zanzibar wakati…

Shule za sekondari 92, msingi 154 Pwani zaanza kilimo cha mbogamboga kukabiliana na lishe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Shule za Sekondari 92 pamoja na Shule za Msingi 154 Mkoani Pwani,zimeanza kilimo Cha mbogamboga ili kukabiliana na changamoto ya chakula shuleni. Inaelezwa hatua hiyo inakwenda kuchagiza mwamko wa elimu inayoendana na afya bora mashuleni. Akielezea…

Global Education Link yatoa fursa vyuo vya nje sabasaba

 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wakala wa Elimu Nje ya nchi Global Education Link (GEL), imeendesha zoezi la kudahili wanafunzi vyuo nje ya nchi papo hapo kwenye maonyesho ya biashara ya kimataifa yanayoendelea kwenye vuiwanja vya mwalimu Nyerere maarufu kama sabasaba….