JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

DK.Mpango asisitiza uungwaji mkono matumizi nishati safi ya kupikia

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango, amesema juhudi za kulinda mazingira zinazofanywa na taasisi mbalimbali kuhamasisha nishati safi ya kupikia zinastahili kuungwa mkono. Pia, ameipongeza Kampuni ya Oryx Gas Tanzania Limited (OGTL) kwa kazi nzuri inayoifanya…

Serikali yapata muarobaini kukabili uvamizi wa tembo nchini

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezindua programu maalum ya ujenzi wa vituo maalum 16 kwa ajili ya kuthibiti wanyama wahalibifu katika maeneo mbalimbali nchini vitakavyogharimu zaidi ya bilioni moja. Akizindua program hiyo na kushiriki kwenye ujenzi wa kituo…

‘Sekta ya madini sehemu sahihi ya biashara na uwekezaji’

Na Mwandishi Wetu Sekta ya Madini imekuwa ni sehemu sahihi ya biashara na uwekezaji kutokana na Miongozo, Maelekezo na Maagizo mbalimbali yanayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa…

MSD yashauriwa kuweka mikakati endelevu ya upatikanaji bidhaa za afya

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Pwani (RAS), Salvera Salvatory ameishauri Bohari ya Dawa (MSD) kuwa na mikakati endelevu ya kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya ili kuondoa malalamiko ambayo kwa kiasi kikubwa yameanza kupungua. Salvatory ameyasema hayo wakati akifungua mkutano…

Msataafu Kikwete awapa kongole Muhimbili

Na mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es salaam Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila kwa huduma nzuri wanazotoa kwa jamii na kuwataka…

DKT. Mwinyi kufungua maadhimisho ya kupinga rushwa barani Afrika

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Husein Ali Mwinyi anatarajia kuzindua Maadhimisho ya siku ya mapambano dhidi ya Rushwa barani Afrika Mkoani Arusha. Akiongea na vyombo vya Habari Jijini Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela…