JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

NEC yajadili mkataba wa DPW, yaelekeza Serikali kutoa elimu kwa umma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM )ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao Cha Halmashauri kuu ya CCM Taifa kilichotanguliwa na Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu…

Jukwaa la Kimataifa la Sekta ya Madini kuwakutanisha wadau wa ndani na nje Oktoba 25

Wananchi na wadau wanaotembelea maonesho ya Sabasaba wamekaribishwa kupata taarifa kuhusu namna ya kushiriki katika Jukwaa la Kimataifa la Sekta ya Madini kwa kujisajili katika tovuti maalum ya mkutano. Mratibu wa Jukwaa la Mkutano wa Kimataifa kutoka Wizara ya Madini…

Mwekezaji mzawa wa madini ya Tanzanite avunja rekodi Simanjiro

Franone Mining yavunja rekodi na kuishangaza Serikali Waziri wa Madini Dkt.Dotto Biteko amemshuruku Rais Samia Suluhu Hassan  juu ya uamuzi wake wa Mgodi wa Madini ya Tanzanite   ‘ Kitalu C ‘ cha kumpata Mwekezaji mzawa na Mtanzania wa Kampuni ya…

‘Balozi Karume hakubadilisha tabia licha ya kuonywa’

Na Is-Haka Omar, Zanzibar Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Kusini Unguja kwa kauli moja imemfukuza uanachama kada na mwanachama mkongwe wa chama hicho Ali Abeid Karume kutokana na mwenendo wake wa kukiuka maelekezo ya maadili, miongozo na…

Simba yapanda viwango vya ubora barani Afrika

Klabu ya Simba imepanda kwa nafasi mbili kwenye viwango vya ubora Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Msimu uliopita Simba ilikuwa nafasi ya tisa sasa imesogea mpaka nafasi ya saba kuelekea msimu ujao Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya…