JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TANAPA kulipisha wanaotumia majina ya wanyama

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, DodomaKAMISHNA wa Uhifadhi ,Hifadhi za Taifa Tanzania ( TANAPA ) William Mwakilema amesema mtu yeyote anayetaka mnyama aitwe kwa jina lake atatakiwa kulipia gharama ya kiasi cha shilingi mil.5 ,lakini pia anayetaka kumuasili mnyama atatakiwa kulipia…

Watu 43 wafanyiwa upasuaji Bombo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kambi maalum ya upasuaji wa kurekebisha viungo iliyoanza Julai 17, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tanga ‘Bombo’ imefanikiwa kuwafanyia upasuaji watu 43 kati ya 86 hadi kufikia leo. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa…

Washiriki mkutano wa IAWP waanza kuona mafanikio

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es Salaam Mkutano wa Mafunzo wa Jumuiya ya askari Polisi wa Kike wa Duniani Ukanda wa Afrika (IAWP – International Association of Women Police – African Chapter) utafungua milango ya mashirikiano katika…

Rais Samia kuweka jiwe la msingi viwanja vya Mashujaa Mtumba jijini Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yamekamilika katika eneo la Mtumba jijini Dodoma huku Serikali ikitoa maelekezo kwa mikoa yote nchini kufanya maadhimisho hayo kwa kufanya usafi, upandaji miti na shughuli nyingine…

Majaliwa atoa siku saba kwa TARURA, DAWASA kukamilisha barabara Muhimbili

………………………………………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku saba Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam Godfrey Mikinga na Mkurugenzi wa Usafi wa Usimamizi wa Usafi wa Mazingira wa Mamlaka ya Maji Safi…

Upasuaji rekebishi kuimarishwa Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaHospitali ya Taifa Muhimbili itashirikiana na Chuo Kikuu cha Tiba kilichopo Bayreuth nchini Ujerumani katika kuwajengea uwezo wataalamu wa Kitengo cha Upasuaji Rekebishi wa MNH(reconstructive surgery). Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Prof. Mohamed Janabi alipokutana…