JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

DCEA yateketeza hekari 489, yaendesha operesheni kwa siku nane mfululizo Moro

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Vyombo Vingine vya Ulinzi na Usalama wakiwemo JKT Ruvu imefanya operesheni ya siku nane mfululizo mkoani Morogoro katika wilaya za Morogoro, Morogoro Vijijini na Mvomero…

Ofisi ya Makamu wa Rais yawakaribisha wadau, wananchi Nanenane Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbeya Ofisi ya Makamu wa Rais imeungana na Wizara, Idara, Wakala na Taasisi za Umma na Binafsi katika kushiriki Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya. Maadhimisho hayo…

Timu ya wakaguzi kutoka CAF imehitimisha ukaguzi salama

Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia, Zanzibar Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda kuwa wenyeji AFCON 2027, kutoka Shirikisho la Mpira Afrika (CAF) imehitimisha ukaguzi wao salama Agosti 2, 2023 Zanzibar. Akizungumza mara baada ya kikao…

Msongo wa mawazo watajwa kuwa sababu ya kuathiri afya ya wajawazito

Na Catherine Sungura, Dar es Salaam Wajawazito nchini wametakiwa kukaa katika mazingira yasiyowaletea msongo wa mawazo katika kipindi chote cha ujauzito na unyonyeshaji ili kufanya maziwa yatoke vizuri na mtoto kupata lishe bora na kukua vizuri Wito huo umetolewa leo…

Taasisi ya Saratani Uganda watembelea Muhimbili kujifunza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amekutana na jopo la wataalamu kutoka Taasisi ya Saratani Uganda (Uganda Cancer Institute). Kiongozi wa Jopo la wataalamu hao Bw. Godfrey Osinde amesema kuwa wamekuja Tanzania…

Mwenge kuzindua miradi 59 yenye thamani ya bil.24.2/- Geita

Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2023 zimewasili mkoani Geita kutokea mkoani Shinyanga ambapo utakimbizwa katika halmashauri sita, kutembelea, kukagua na kuzindua miradi 59 yenye thamani ya Sh bilioni 24.2. Akizungumuza wakati wa mapokezi ya mwenge katika kijiji cha…