JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mpango mpya NSSF kivutio Nanenane Arusha

Mpango mpya ulianzishwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) maalum kwa ajili ya watu kujiunga kutoka sekta binafsi umevutia wananchi wengi kwenye maonesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya Themi Njiro Arusha Mpango mpya huo ambao unatarajiwa…

Rais Samia apongeza mchango wa NMB kwenye kilimo akifunga maonesho ya Nane Nane

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbeya RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hasaan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta ya Kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Misitu, sambamba na kusapoti Program ya Kuandaa Vijana na Wanawake Kujenga…

Banda la Farm Africa gumzo maonesho ya Nane Nane Dodoma

Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Dodoma BANDA la Shirika la Farm Africa linalojishughulisha na masuala ya kilimo nchini lilipo ndani Maonesho ya Kanda ya Kati ya Wakulima ‘Nane Nane’ yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma yenye kauli mbiu Kitaifa “Vijana…