JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mgomo wa madereva Arusha wamng’oa ofisa Latra

Mgomo wa madereva wa daladala na bajaji iliyokuwa ikiendelea katika jiji la Arusha na kushindwa kupatiwa ufumbuzi imedaiwa kumng’oa aliyekuwa Ofisa wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini( LATRA) Mkoa wa Arusha, Amani Mwakalebela. Imeelezwa kuwa ofisa huyo alishindwa kutatua migogoro…

Dk Tulia :Mbeya msiingizwe kingi na wapinzani

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt. Tulia Ackson, amewataka Wananchi hususani wa Jimbo lake wajihadhari na watu wenye nia ovu ya kutaka kuwagombanisha na Serikali yao ili wasishiriki katika…

Madaktari bingwa wa macho waweka kambi Mbarali

Madaktari Bingwa wa macho wameweka kambi ya wiki moja Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya kwa ajili ya kuwatafuta wagonjwa wenye matatizo ya mtoto wa jicho ambapo mpaka sasa wagonjwa 20 wamefanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho kwa siku ya leo….

NHC yatawangazia kiama wadaiwa sugu

Shirika la nyumba la Taifa (NHC) limeingia makubaliano na waratibu wa taarifa sahihi za waombaji wa mikopo ‘CREDIT INFO BUREAU’ ili kupeleka majina ya wadaiwa sugu wasiweze tena kupata mikopo kwenye taasisi za kifedha ikiwemo mabenki. Hayo yamesemwa leo Agosti 15, 2023…

Yakubu: Waigizaji nchini wanamchango katika kuwaondolea watu ‘stress’

Na Eleuteri Mangi, WUSM, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya kikao na baadhi ya viongozi wa Chama cha Waigizaji Tanzania (TDFAA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Bw. Salum Abdul Mchoma…