JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bunge lataka tija uwekezaji soko la jipya la Kariakoo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Denis Rondo amelitaka shirika la Masoko ya Kariakoo (KMC) kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali kwa kutoa shilingi Bilioni 28.03…

Sekta zatakiwa kuchukua hatua stahiki uwepo wa El Nino

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi Msaidizi (Operesheni na Uratibu), Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera , Bunge na Uratibu), Luteni Kanali Selestine Masalamado amezitaka sekta kuchukua hatua stahiki kipindi cha uwepo wa hali ya El Nino…

Watoto waliozaliwa wakiwa wameungana kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa Saud Arabia

Na Mwandishi Wetu. JamhuriMediaSerikali ya Saudi Arabia itasaidia na kusimamia matibabu ya kuwatenganisha watoto waliozaliwa wakiwa wameungana Hussen na Hassan wenye umri wa mwaka mmoja na miezi 11 wakazi wa Mkoa wa Tabora ambao wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya…

Serikali yafanya utafiti mbadala wa zebaki kwa wachimbaji wadogo

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amesema Serikali imefanya utafiti kuhusu teknolojia mbadala wa zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu nchini. Amesema hayo wakati akiwasilisha taarifa ya hatua zilizofikiwa juu ya uratibu…

Wagombea 58 wateuliwa kuwania ubunge, udiwani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Wagombea 58 kutoka vyama 17 vya siasa vyenye usajili kamili wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwania nafasi wazi ya Ubunge kwenye Jimbo la Mbarali lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali na kata sita za…