JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali kuwaunga mkono vijana wabunifu

Serikali imesema itaendelea kuwaunga mkono vijana wanaobuni teknolojia mbalimbali zinazosaidia katika kutatua changamoto za mazingira zinazoikabili nchi yetu. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo wakati akifungua Kongamano la Bunifu…

Wathibti ubora wa shule nchini watakiwa kuzingatia viwango vya ubora katika elimu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Wathbiti Ubora wa Shule nchini wametakiwa kuhakikisha shule zinakuwa na viwango vilivyowekwa na Serikali katika miundombinu, ufundishaji, vitendea kazi na maudhui yanayofundishwa watoto ili kuwawezesha kupata elimu iliyo bora. Akizungumza na Wathibiti ubora wa shule Jijini…

Majaliwa: Seriali kuyaenzi mambo yote yaliyofanywa na marehemu Membe

Wazri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuyaenzi mambo yote mazuri yaliyofanywa na marehemu, Bernad Membe wakati wa utumishi wake Serikalini. Marehemu Membe ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje alifariki dunia Mei 12 mwaka huu katika hospitali ya…

Muhimbili yafanya upasuaji wa kwanza kuondoa bandama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaHospitali ya Taifa Muhimbili imefanya upasuaji mkubwa wa kuondoa bandama lenye shida kwa mgonjwa kwa njia ya matundu madogo (laparoscopic splenectomy) Upasuaji huu ni wa kwanza kufanyika hapa nchini ambao umefanywa na madaktari wa upasuaji wa MNH…

NHC yatakiwa kutilia mkazo ukusanyaji madeni

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha linatilia mkazo ukusanyaji madeni ya wapangaji katika nyumba zake. Mwenyekiti wa Kamati hiyo Timetheo Mnzava amesema, pamoja na shirika hilo…

Putin atoa wito kwa wafanyakazi wa kujitolea kijeshi kula kiapo

Putin amewataka wajitolea wote “wanaofanya kazi za kijeshi” kula kiapo mbele ya bendera ya Serikali ya Urusi. Alitoa amri ya kuomba kiapo hicho, ambacho kinawafaa wale wanaoshiriki katika shughuli za kijeshi nchini Ukraine, kusaidia jeshi, pamoja na raia wanaohudumu katika…