JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ma-Rc ongezeni kasi kudhibiti mmomonyoko wa maadili, ukatili kwa watoto

 Na Mwandishi Wetu, JamburiMedia, Pwani Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewasisitiza Wakuu wa Mikoa nchini kuendelea kuishikilia Ajenda ya kupambana na mmomonyoko wa maadili, vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na…

Madiwani Msalala watoa pongezi kwa Rais Samia kuimarisha sekta ya elimu

Na Mwandishi Wetu Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Shinyanga wamemwagiza mkuu wa wilaya hiyo, Mboni Mhita na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mary Mhoha kufikisha salamu za pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Ni kutokana na kuongeza…

Abria 40wanusurika kifo ajali ya basi la Mining Nice Lindi

Abiria 40 waliokuwa wanasafiri na Basi la Kampuni ya Maning Nice kutoka mkoani Mtwara kwenda Morogoro wamenusulika kiifo kufuatia gari walilokuwa wakisafiria kuacha barabara na kupinduka. Kwa mujibu wa mashuhuda na abiria waliokuwa wanasafiri na basi hilo walisema ajali hiyo,imetokea…