JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tanzania yahimiza mikakati kukuza biashara mtandao

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Tanzania imezitaka taasisi za posta Afrika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali kwenye shughuli zote ili kuendeleza biashara mtandao na kufukisha huduma zaidi za kifedha kwa jamii. Akifungua mikutano ya kamati mbalimbali za Umoja wa Posta Afrika…

STAMICO yafanya mageuzi, yaongeza mapato kutoka bil.1.3/- hadi bil.61.1/-

Na Mwandishi Wetu, JamburiMedia, Dar Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limefanya mageuzi makubwa ambayo yameliwezesha shirika hilo kuongeza mapato kutoka shilingi bilioni 1.3 hadi shilingi bilioni 61.1 sawa na ongezeko la asilimia 4425. Hayo yamebainishwa leo Agosti 28,2023 na…

Muhimbili kuwa kitovu upasuaji wa matundu madogo Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi amesema hospitali hiyo itakuwa kitovu cha upasuaji kwa njia ya matundu madogo katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Jangwa la Sahara kutokana na…

Kingamkono askofu wa nne Dayosisi ya Mpwapwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Askofu wa nne wa Dayosisi ya Mpwawa Kanisa la Anglikana Luzineth Kingamkono amewekwa wakfu kuongoza Dayosisi ya mpwampwa katika, Ibada iliofanyika Wilayani hapa mkoani Dodoma huku akiaswa kufanya kazi kwa bidii, unyenyekevu na uaminifu na…

Jeshi la Polisi lawahiza wananchi kutoa taarifa za vitendo vya ukatili Simiyu

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi -Simiyu Jeshi la Polisi Mkoani Simiyu limewahimiza wanachi kuendelea kutoa taarifa za uhalifu na vitendo vya ukatili Mkoani humo vinavyofanywa na Baadhi ya watu wasio na hofu ya Mungu. Kauli hiyo imetolewa leo Agasti…

EWURA yaridhishwa na kazi ya utengenezaji wa matela ya mabomba ya mradi wa EACOP

Bodi ya Wakurugenzi  wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (Ewura), imesema kuwa imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa utengenezaji wa matela maalum 300 unaofanywa na kampuni ya Superdoll kwa ajili ya kusafirisha mabomba ya mradi…