JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Majiji manne kufungwa kamera za usalama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imedhamiria kuendelea kuboresha Utendaji wa Jeshi la Polisi katika kudhibiti matukio ya uhalifu na makosa ya usalama barabarani kwa kufunga kamera maalumu katika majiji ya Dodoma, Dar es Salaam, Mwanza na Arusha huku lengo likiwa…

Arusha kitovu cha sekta ya Posta barani Afrika

Immaculate Makilika na Faraja Mpina, JamhuriMedia,Arusha Mkoa wa Arusha unatazamiwa kuwa Kitovu cha Wataalamu wa Sekta ya Posta barani Afrika mara baada ya uwepo wa jengo la kisasa la Umoja wa Posta Afrika (PAPU) litakalozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya…

Wananchi wapewa rai kushiriki wiki ya kitaifa ya ufuatiliaji na tathmini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wananchi wamepewa wito wa kushiriki katika wiki ya Kitaifa ya Ufuatiliaji na Tathmini itakayofanyika Jijini Arusha ambayo itahusisha kutoa elimu itakayowawezesha kutoa taarifa za Ufuatiliaji na Tathmini na Ufuatiliaji wa Miradi mbali mbali ya kimaendeleo…

Wataalamu wa manunuzi wahimizwa kuzingatia miongozo ya ununuzi wa vifaa

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Wataalamu wa ununuzi na ugavi Serikalini wamehimizwa kuzingatia miongozo ya Sheria ya Manunuzi ya Umma ili kuepuka manunuzi vifaa vyenye ukomo wa matumizi ambavyo husababisha madhara mbalimbali kwa afya ya binadamu na mazingira. Hayo yamesemwa Agosti 27,…