JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TMA yakagua kituo cha kutoa tahadhari za Tsunami Dar

Mwwnyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Buruhani Nyenzi amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, Kanda ya Mashariki na Kituo cha kutoa tahadhari za TSUNAMI nchini,…

DC Matinyi aeleza mtiririko fedha za Rais Samia zilivyoinga’isha Temeke

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam, Mobhare Matinyi, amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo kwa ajili ya wananchi wa wilaya…

Dkt. Yonazi: Global Fund yaimarisha sekta ya afya nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ameupongeza na kuushukuru Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa mchango mkubwa unaoutoa katika kuendeleza mapambano dhidi ya magonjwa ya…

RC Chalamila amshukuru Rais Samia utekelezaji wa miradi Temeke

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa shukrani hizo leo Agosti 28, 2023 katika ziara yake ya kutembelea na kukagua mradi wa Barabara Nzasa-Kilungule, Ujenzi wa Hospitali ya Ghorofa sita (6) na Ujenzi…