JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Polisi Mbeya wamshikilia bibi kwa kumuua mjuu wake

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia bibi mmoja aitwaye Malogi Luobela (75), Mkazi wa Kijiji cha Ikoho Wilaya ya Mbeya Vijijini kwa tuhuma za kumuua mjukuu wake aitwaye Vision Erick mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitano kwa…

Bil 5.9 zimetumika kununua viuadudu katika halmashauri nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetumia kiasi cha shilingi Bilioni 5.9 kununua viuadudu katika ngazi ya Halmashauri ndani ya kipindi cha mwaka 2017 hadi 2023. Hayo yaimebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Afya,…