JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jela maisha kwa kuwalawiti wanafunzi Tabora

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora imemuhukumu Daudi Masanja (28), mkazi wa mtaa wa Masanga, Kata ya Igunga mjini kutumikia kifungo cha maisha jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kulawiti wanafunzi wawili wanaosoma shule msingi…

Dk Biteko akabidhi ofisi ya Wizara ya Madini kwa Mavunde

Mavunde aainishiwa Vipaumbele vya Wizara ya Madini 2023/24 Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amemkabidhi Ofisi ya Wizara ya Madini kwa Mhe.Anthony Mavunde ili aanze rasmi kazi ya kuiongoza Wizara hiyo. Makabidhiano…

Waziri Silaa ataka ushirikiano Wizara ya Ardhi

Na Rahma Sufiani, SJMC Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry William Silaa amewasili kwa mara ya kwanza ofisi za Wizara hiyo na kusisitiza ushirikiano pamoja na kuzingatia muda wakati wa utekelezaji majukumu ya wizara hiyo….

Mavunde aahidi kuendeleza mageuzi sekta ya madini

#Aipongeza kazi kubwa iliyofanywa na Dkt. Biteko Waziri wa Madini Anthony Mavunde amewahakikishia Watumishi wa Wizara ya Madini na Taasisi zake kuendeleza Mageuzi ya Kimkakati yanayoendelea katika Sekta ya Madini na kuendeleza ushirikiano uliopo ili kuikuza Sekta ya Madini. Ameyasema…

Shule ya East Africa Dodoma yaanzisha somo la Karate

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Katika kukimarisha afya ya akili na mwili kwa wanafunzi shule ya Awali na Msingi ya East Africa iliyoko Kikuyu jijini Dodoma, imeanzisha somo la mchezo wa karate. Mwalimu mkuu wa shule hiyo Evarist Runiba, amesema hayo…