JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Katibu Mkuu kiongozi atembelea mradi wa JNHPP, asema Watanzania wanahitaji umeme

Na Zuena Msuya, JamhuriMedia, Pwani Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amesema kuwa watanzania wanahitaji kupata huduma ya umeme wa uhakika na kwamba ameridhishwa na kazi kubwa ya utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP). Balozi…

Tanzania, Norwaya zasaini makubaliano kukabili mabadiliko Tabiachi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali ya Tanzania imenufaika na shilingi bilioni 7.3 kutoka Serikali ya Norway kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na inayotekelezwa nchini. Hayo yamejiri baada ya Serikali hizo mbili…

Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), laweka mkazo uwekezaji maghala ya kisasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi Mtendaji wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Godfrey Malekano amesema kuwa watendelea kuimarisha mifumo katika utendajikazi wa taasisi hiyo ili kuongeza mchango katika kuchochea uchumi wa Tanzania. Ameyasema hayo leo Septemba 6,2023 jijini Dar es…

Waziri Mkuu atoa agizo kwa Naibu Waziri Mkuu Biteko

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko aendelee kushughulikia suala la changamoto ya upatikanaji wa nishati ya mafuta katika maeneo mbalimbali nchini. “…Watanzania wapate hii huduma, upatikanaji huu ni muhimu kuhusisha taasisi…

Profesa UDSM awapiga msasa walimu shule za St Mary’s

Na Mwandishi Wetu MHADHIRI wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Goodluck Urassa amesema ili shule ziweze kufanya vizuri kitaaluma, walimu wanapaswa kufanya kazi yao kama sehemu ya biashara, na kuongeza ubunifu. Profesa Urassa, aliyasema hayo jana jijini Dar…