JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Majaliwa :Tengenezeni mifumo ya kugundua risiti feki

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wataalamu wa mifumo na TEHAMA, wabuni programu tumizi ya kuweza kutambua risiti halali na zisizo halali ili kujihakikishia kuwa mapato yote yanayokusanywa yanaingia Serikalini. Kadhalika, amewataka waweke utaratibu wa kufanya kaguzi za mashine za “PoS”…

Bima ya afya kwa wote suluhu ya kudumu ya matibabu kwa rika zote

Na WAF, Bungeni Dodoma. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema, Bima ya afya kwa wote itakuwa suluhu ya kudumu kwa wananchi wote ikiwemo watoto wasio na wazazi na wasiojiweza ambao awali walikuwa wakilipiwa na wahisani kupitia “Toto Afya…

Zaidi ya watoto milioni 3 kupata chanjo ya Polio kwenye mikoa sita nchini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Afya kwa kushirikiana Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wadau wa Sekta ya Afya inatarajia kuendesha Kampeni ya kutoa chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio kwa watoto zaidi ya Milioni 3,250,598 walio chini ya…

Taa za barabarani Kwa Mathias Pwani zaanza kufanyakazi

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Matumizi ya taa za kuongoza magari katika Makutano ya barabara eneo la KwaMathias yameanza tangu Septemba 07 usiku . Aidha ,kwasasa mpango huo ,kazi inaendelea katika Makutano ya Mlandizi. Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa…