JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Silaa: Tujenge nidhamu ya Wizara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewataka watumishi wa Wizara yake kuhakikisha wanawahudumia vizuri wananchi ili wajenge imani na serikali. ‘’Lazima tutengeneze ‘despline’ ya wizara kwa kuwahudumia vizuri wananchi, tukumbuke hapa…

Thailand yafungua milango Watanzania kujifunza uongezaji thamani madini

Kampuni Kubwa Yenye Uzoefu wa miaka 50 yaonesha nia kuwekeza nchini Mbibo aielezea kuwa ni safari yenye mnufaa makubwa kwa Tanzania TIC Wakaribishwa kuanzisha tawi kuchochea shughuli za uongezaji thamani madini Bangkok- Thailand Watanzania wamekaribishwa kujifunza namna ya kuongeza Thamani…

Polisi ajiua kwa kujipiga risasi shingoni Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Askari wa Jeshi la Polisi CPL Petro Nyabucha ambaye pia ni mganga wa Zahanati ya Polisi iliyopo kwenye eneo la kikosi cha kuzuia ghasia (FFU) eneo la Mahenge Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma amejiua kwa…

Waandishi wajengewa ujasiri kupambana na changamoto katika majukumu yao

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari licha ya kuwa watu muhimu katika jamii lakini wamekuwa katika mazingira ambayo siyo mazuri wanapokuwa.wakitekeleza majukumu yao ya kuhabarisha Umma kwani miongoni mwao kupata vitisho wengine kutekwa na wengine kufikishwa…

TNGC kuchochea mabadiliko kwenye sekta ya ardhi nchini

Na Dotto Kwilasa, Jamhurimedia,Dodoma SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Korea imechukua hatua za kukabiliana na changamoto za ardhi kwa kuanzisha kituo cha Ubunifu na mafunzo ya teknolojia na taarifa za kijiografia (TNGC)hali itakayo boresha majukumu ya kupanga,kupima na kimilikisha…

Dkt.Biteko aiagiza Wizara ya Ardhi kupanga, kupima na kumilikisha ardhi kwa ufanisi

✔️Atoa angalizo la kutogeuka kuwa Wizara ya kutatua migogoro ya ardhi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Doto Biteko ameiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kufanyia kwa ufanisi majukumu yake ya msingi ambayo ni kupanga, kupima…