JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

OSHA yatoa mafunzo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) imefanya semina elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 10 Septemba, 2023, mkoani Arusha. Aidha,semina hiyo ililenga kutoa uelewa…

Tuendelee kumpa ushirikiano Rais wetu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi waendelee kumuamini Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa sababu ana dhamira na malengo makubwa ya kuendelea kuboresha maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo na ya wilaya ya Ruangwa. “Tujenge imani ya Serikali yetu, tujenge…

Ummy kuanza ziara ya siku tatu Songwe

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu anatarajiwa kuanza ziara ya siku tatu kuanzia Septemba 11-13, 2023 katika Mkoa wa Songwe kukagua hali ya utoaji Huduma za Afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Hospitali za Halmashauri, Vituo vya Afya…

‘Ukraine imebakiza siku 30 tu za kupambana na Urusi’

Ukraine imesalia na siku zisizozidi 30 za mapigano dhidi ya Urusi kabla ya hali ya hewa kuzuia mashambulizi yake, afisa wa ngazi ya juu wa jeshi la Marekani anasema. Akiongea na BBC Jumapili kupitia kipindi cha Laura Kuenssberg, Jenerali Mark…

Idadi ya waliokufa kwa tetemeko Morocco yafikia 2,000

MOROCCO inaomboleza vifo vya zaidi ya watu 2,000 vilivyosababishwa na tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Ijumaa usiku, wakati timu za uokoaji zikifanya juhudi kuwatafuta watu waliokwama kwenye vifusi. Wanajeshi na wafanyakazi wa kutoa misaada wameonekana wakipeleka maji na mahitaji mengine…