JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mkutano wa APIMONDIA kuipaisha Tanzania sekta ya ufugaji nyuki, utalii

Mkutano wa APIMONDIA kuipaisha Tanzania sekta ya ufugaji nyuki, utalii Na Wilson Malima JAMHURI MEDIA Dar es Salaam.Mkutano mkuu wa 48 wa Shirikisho la wafuga nyuki duniani (APIMONDIA) umeipa nafasi Tanzania kuwa mwenyeji wa kongamano la Kongresi ya 50 ya…

Tanzania yakanusha madai ya kutoroshwa kwa wanyamapori kwenda UAE

Mdhibiti wa viwanja vya ndege nchini Tanzania amekanusha kuruhusu utoroshwaji wa wanyamapori kutoka mbuga ya kaskazini hadi nchi za Mashariki ya Kati. Inafuatia madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa wanyama pori hao walikuwa wakisafirishwa kwa ndege za mizigo kutoka Loliondo,…

Watu 10,000 wamepotea baada ya mafuriko makubwa nchini Libya – IFRC

Takriban watu 10,000 wanakisiwa kupotea kufuatia mafuriko makubwa nchini Libya kulingana na afisa kutoka Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC). “Tunaweza kuthibitisha kutoka kwa vyanzo vyetu huru vya habari kwamba idadi ya watu waliopotea…

Ndumbaro azindua bodi, azipa jukumu la kuongeza mapato

Na Eleuteri Mangi WUSM, Dar es salaam Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amezindua Bodi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) na Bodi ya Bodi ya Filamu Tanzania na kuwataka Wajumbe wa Bodi hizo kuhakikisha sekta ya Sanaa…

Askari wa TAWA wamuokoa mtoto wa tembo aliyetumbukia shimoni

Na Beatus Maganja -TAWA Askari wahifadhi kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), jana walifanikiwa kumuokoa mtoto wa tembo anayekadiriwa kuwa na umri wa wiki nne (4) aliyezama katika shimo lenye matope katika Kijiji cha Kwamsanja kilichopo kata ya…

Mfahamu mzee aliyemficha Baba wa Taifa 1955 wakati wa kudai uhuru

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Namtumbo TAMASHA kubwa la kutangaza fursa mbalimbali zilizopo wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma linatarajia kufanyika kwa siku mbili kuanzia Septemba 22 hadi 23 mwaka huu ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe. Mkuu…