JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tanzania yajifunza uendeshaji minada ya kimataifa ya madini kwa kampuni yenye uzoefu wa miaka 50

Wafanyabiashara Thailand Waeleza Umuhimu wa kushirikiana na Wenzao wa Tanzania Kwa mara nyingine Watanzania Wapata Fursa kujifunza Uongezaji Thamani Madini Thailand Bangkok- Thailand Ujumbe wa Tanzania Nchini Thailand ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo, umejifunza namna…

Dotto Biteko: Watanzania wanataka umeme wa uhakika

Na Magrethy Katengu Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko aliagiza Shirika la Umeme Tanesco kuhakikisha Watanzania wote wanafikiwa na huduma ya Umeme kuanzia Mijini hadi vijijini ili kusaidia shughuli za kiuchumi kuendelea ….

Jafo: Wananchi waache kununua majokofu, viyoyozi mtumba

Serikali imewataka wananchi kuepuka kuingiza nchini na kutumia majokofu au viyoyozi vilivyokiwshatumika (mtumba) ambavyo vinatumia gesi haribifu kwa tabaka la ozoni na badala yake watumie bidhaa zenye uwezo mdogo wa kuchangia ongezeko la joto duniani. Waziri wa Nchi Ofisi Ya…

Naibu Waziri Mkuu asisitiza umuhimu wa ufuatiliaji na tathmini Serikalini

Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kama Serikali haitafanya Tathmini ya Shughuli zake haitakuwa na uwezo wa kujipima na vihatarishi vya utekelezaji wa mipango yake.  Naibu Waziri Mkuu Dkt….

Uchunguzi na tiba mishipa ya damu vyaimarishwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika kuboresha huduma za kibingwa nchini Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa kifaa maalum chenye mfumo halisi wa mwili wa binadamu “Simulator” ambacho kitatumika kuendelea kuwajengea uwezo wataalamu wa Tiba Radiolojia (Interventional Radiology) kufanya…

RC Chalamila ashuhudia utiaji saini mikataba ya ujenzi ya barabara TARURA Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Agosti 12, 2023 ameshuhudia utiaji Saini wa mikataba ya kazi za ujenzi na matengenezo ya Barabara TARURA Mkoa wa Dar es Salaam yenye thamani ya Tshs….