JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Shekimweri ataka kuundwa timu ya fuatiliaji anwani za makazi kuboresha huduma za kijamii

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma MKUU wa Wilaya ya Dodoma Mjini,Jabir Shekimweri amesisitiza kuundwa kwa timu ya ufuatiliaji na tathmini ya zoezi la Anwani za Makazi ili kufanikisha azma ya Serikali ya kila Mtu kutambulika kirahisi mahali anapoishi. Amesema hatua…

Dk Biteko atoa maelekezo EWURA kuhusu bei ya mafuta kupanda

Na Magrethy Katengu Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti huduma za Nishati na Maji (EWURA), imesema itahakikisha inashughulikia kwa haraka changamoto zinazopelekea uhaba wa mafuta nchini unahimilika kwa kupitia mfumo mzima wa upangaji wa bei ili kusaidia wananchi kuwapunguzia kiwango cha…

Mavunde awataka watumishi Wizara ya Madini kuimarisha ushirikiano

#Apinga majungu sekta ya madini #Dkt. Kiruswa asisitiza njia ya kufikia malengo 2030 #Mahimbali asema Wizara itasimamia kikamilifu ukusanyaji wa Maduhuli Mwaka wa Fedha 2023/2024 Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Wizara na Taasisi zilizopo chini ya Wizara…

BOOST yatumia zaidi ya bilioni 1.2 kuimarisha sekta ya elimu Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan imejenga shule za Msingi mpya mbili,Madarasa 13 na Matundu ya Vyoo 21 kwenye shule 8 za…

Siasa zenu zisiharibu uhifadhi Ngorongoro

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, anashutumiwa na vyombo vya dola kwa kauli zake zinazowachochea wananchi kutotii mamlaka za nchi na sheria za uhifadhi. Akiwa wilayani Ngorongoro amewataka wananchi wanaohama kwa hiari kutotii mpango huo,…

Balaa la ‘Kamchape’, Asababisha hofu kwa wananchi, viongozi wa dini, serikali

*Augeuza mwambao wa Ziwa Tanganyika kuwa himaya yake *Paroko wa Kanisa Katoliki, viongozi wa Serikali wakimbia kuhofia maisha *Inspekta wa Polisi ajeruhiwa, apelekwa Hospitali ya Benjamin Mkapa Katavi Na Mwandishi Wetu Katika hali isiyotarajiwa, mganga wa jadi anayeaminika kuwa na…