JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

‘Dhana ya ufuatiliaji na tathmini itekelezwe kwa vitendo’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Ummy Nderiananga amewasihi wataalam na wabobezi mbalimbali wa eneo la Ufuatiliaji na Tathmini kuitekeleza dhana hiyo kwa vitendo. Naibu…

Wanafunzi 192 hawajaripoti kidato cha tano Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya Wanafunzi 192 wakiwemo 44 wa shule ya Sekondari Kibaha Wavulana kati ya 791 wanaonza safari ya miaka miwili ya kidato cha tano na sita hawajaripoti kwenye shule za Serikali za Halmashauri ya Mji…

CUBA zakubaliana kushirikiana elimu ya juu, fundisha kiswahili CUBA na kuandaa kamusi ya kiswahili Kispaniola

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Cuba zimesaini Hati za Makubaliano ya kushirikiana kupitia elimu ya juu kwa kubadilishana wakufunzi na wanafunzi, kufundisha lugha ya kiswahili katika Chuo Kikuu cha Havana nchini Cuba na…

Wananchi Mtwara Waishukuru Serikali kwa Hospitali ya Rufaa Kanda

Na Immaculate Makilika , JamhuriMedia -MAELEZO Wananchi wa Mkoa wa Mtwara wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa uwepo wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini mkoani humo. Akizungumza leo katika mahojiano maalum…

Taasisi ya teknolojia ya JR kuiwezesha CBE kutoa mafunzo ya akili bandia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeingia makubaliano na Taasisi ya Teknolojia ya Habari JR Institute of Information and Technology ambao utakiwezesha chuo hicho kutoa mafunzo ya akili bandia na usalama wa mtandao. Makubaliano hayo yalisainiwa…

Majaliwa : Ongezeni ushiriki wa wahandisi wazawa kwenye ujenzi wa miradi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha wahandisi wazawa wanashiriki kwenye ujenzi wa miradi mbalimbali nchini. Amesema kuwa kupitia utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa…