JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Rais Samia ‘aiponya’ Msalala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama HATUA ya Serikali Kuu kuipatia Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Shinyanga zaidi ya Tsh. 4.5 Bilioni, imewezesha halmashauri hiyo kukamilisha majengo yake. Halmashauri hiyo imepanga kuhamia kwenye majengo yake yaliyopo Izengabatogilwe, Kahama mwanzoni mwa Oktoba,…

Pwani yazindua mfumo wa M MAMA utakaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto mchanga

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani, umezindua mfumo wa usafirishaji wa dharura kwa wajawazito waliojifungua na watoto wachanga (M MAMA)katika kituo cha kuratibu mawasiliano ya rufaa hospital ya mkoa Tumbi, Pwani. Akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mgeni…

Dk Mollel akunwa na maboresho ya huduma MSD

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema ameridhishwa na mabadiliko yanayofanywa na Bohari ya Dawa (MSD) hususani katika utendaji na utekelezaji wa mikataba ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba nchini. Dk. Mollel amesema hayo…

Watafiti wasisitizwa ushiriki jopo la Kimataifa la Sayansi na Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabia nchi

KAIMU Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi, Dkt. Ladislaus Chang’a amewasisitiza watafiti mbalimbali nchini kutumia fursa zilizopo katika Jopo hilo…

CCBRT yawapima afya wafanyakazi NMB, wateja Dar

Na Mwandishi Wetu Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya CCBRT wameishauri jamii kujenga tabia ya kupima afya mara kwa mara. Hayo yamebainishwa na Dk. Gaspa Shayo wakati zoezi la kupima afya za wafanyakazi na wateja wa Benki ya NMB likilofanyika Makao…

CBE yafanya uwekezaji mkubwa vipimo na viwango

*Wanafunzi wa vipimo kusoma kwa vitendo zaidi Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kisasa kwenye idara yake ya vipimo na viwango hususan kwenye upimaji wa mafuta ya vyombo vya moto. Hayo…