JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Afisa feki wa NIDA akamatwa, awatoza wananchi 5000 ili kupata kadi

Na Calvin Minja-NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanzisha operesheni maalum ya kuwasaka na kushughulikia watu wanao walaghai  wananchi kuwa ni watumishi wa NIDA kwa lengo la kuwatapeli na kujipatia fedha isivyo halali. Operesheni hiyo iliyoafanyika nchi nzima  imefanikiwa…

RC Chalamila akutana na Mtendaji Mkuu TCRA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Septemba 15, 2023 amekutana na Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Dk Jabiri Bakari alipozuru Ofisi za mamlaka hiyo eneo la Mawasiliano Wilaya ya Ubungo Jijini…

Othman:Madaraka ni amana vyama vya siasa vizingatie demokrasia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa ATC-Wazalendo Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema dhana ya mageuzi ni uwanja mpana, ambapo utekelezaji wake ni kutoka mbali, kuanzia chaguzi za haki na demokrasia ndani ya chama. Othman ambaye pia ni Makamu…

Askari waliotimiza miaka tisa kazini waguswa na Kampeni ya Namthamini

Na Mwandishi Wetu , Jeshi la Polisi- Dar es Salaam Askari wa Jeshi la Polisi waliotimiza miaka tisa (09) kazini depo ya mwaka 2013/2014 (H3) wameguwa na Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na kituo cha Televisheni na Redio cha East Afrika…

Kibaha yaadhimisha Siku ya Usafirishaji kwa kishindo

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Leo Jumamosi Septemba 16,2023 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson John, amewaongoza mamia ya wananchi kuadhimisha Siku ya Usafishaji kwa kufanya usafi kwenye Soko la Loliondo kuanzia Saa 12 hadi saa 4 Asubuhi. Pamoja na…

Uamuzi wa Rais Samia wawakosha wakazi wa Nanyamba

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Wakazi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya Mtwara Vijijini wamefurahishwa na uamuzi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan wakuitaka Bandari ya Mtwara kuanza kusafirisha korosho. Akizungumza leo wilayani humo katika mahojiano maalum na Afisa wa…