JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

RC Chalamila: Usafi Dar ni ajenda ya kudumu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameyasema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Usafi Duniani katika viwanja vya Zakhiem Mbagala Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam. RC Chalamila…

Chalamila kula sahani moja na vinara wa biashara za magendo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameonyesha kutofurahishwa na vinara wa biashara za magendo ambao hupitisha bidhaa mbalimbali katika bandari bubu pasipo kulipa kodi ambapo amesema hali hiyo haivumiliki…

Polisi yatoa onyo wanaojichukulia sheria mkononi

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi-Dar es Salaam Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa kwa mujibu wa sheria za nchi limepewa jukumu la kulinda maisha ya watu na mali zao ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa jukumu hilo ambalo limepata…

Serikali kutumia miezi 18 kumaliza adha ya umeme Masasi

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Serikali imeendelea na jitihada zake za kutatua adha ya kukatika  kwa  umeme mara kwa mara  katika Mkoa wa Mtwara ili kuongeza ushiriki wa wananchi katika shughuli mbalimbali za maendeleo. Akizungumza na wananchi leo katika Uwanja…

Wananchi wapongeza jitihada za Serikali kwenye mbaazi

Na Immaculate Makilika – MAELEZO WANANCHI wa Wilaya ya Masasi, Mkoa wa Mtwara wamepongeza jitihada za Serikali katika kilimo cha zao la mbaazi ambalo limeendelea kuwanufaisha. Mkazi wa Wilaya ya Masasi, Kata ya Jida,Fatma Ismail amesema kuwa wamefarijika na ziara…