JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

‘Tutaendelea kupokea maoni ya wadau kuboresha sera za wananchi kiuchumi’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imesema itaendelea kupokea maoni ya wadau ya kuboresha sera za Uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa makundi mbalimbali ikiwemo vijana, wanawake na watu wenye Ulemavu katika sekta zote nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri…

Musiigeuze Mediterenia kuwa bahari ya mauti – Papa Francis

Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amelaani kile alichokiita “uzalendo wa uadui” na ametaka Ulaya iungane kushughulikia uhamiaji ni kuzuia kuigeuza Bahari ya Mediterenia kuwa “kaburi la heshima”. Mkuu huyo wa Kanisa Katoliki ameyazungumza kwenye hotuba yake refu ya…

Serikali yakabidhi vifaa tiba vya mil.500/- Hospitali ya Wilaya ya Kivule

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD), imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 500 kwa hospitali ya Wilaya ya Ilala (Kivule), lengo ni kuboresha hali ya utoaji huduma wilayani humo. Vifaa hivyo ni pamoja na Vitanda…

Rais Samia aelekeza wananchi waliovamia Hifadhi Bwawa la Mindu kupatiwa viwanja

Siaa atatua migogoro ya ardhi Morogoro hadi usiku Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza wananchi 357 wa kata ya Mindu mkoani Morogoro waliovamia eneo la hifadhi…

Chalamila atembelea kiwanda cha kisasa cha kuzalisha vifaa vya umeme Kigamboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Septemba 22,2023 ametembelea kiwanda cha Kisasa cha Elsewedy kinachozalisha vifaa vya Umeme kilichoko Kisarawe II Kigamboni Jijini Dar es Salaam. lbert Chalamila akiwa katika kiwanda…