JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Mollel: Sekta ya afya nchini yapata mafanikio makubwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wizara ya Afya imesema, juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan hususani katika kuimarisha Sekta ya Afya nchini zimewezesha sekta hiyo kurekodi mafanikio makubwa. Hayo yamesemwa leo Septemba…

NMB JAMII BOND: Hatifungani mpya kwa uwekezaji wenye tija

BENKI ya NMB, imezindua rasmi Programu ya Muda wa Kati (Multicurrency Medium Term Note – MTN) yenye thamani ya Sh Trilioni moja, pamoja na kufungua Dirisha la Uwekezaji wa Toleo la Kwanza la Hati Fungani ya Jamii (NMB Jamii Bond)….

Majaliwa : Serikali kutumia bil. 42/- mradi wa maji Muleba

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imepanga kujenga mradi wa maji wa sh. bilioni 42 kwa ajili ya kuvuta maji kutoka Ziwa Victoria na kuyasambaza kwenye kata sita za wilaya ya Muleba. “Kwa kuanzia, Serikali imetoa sh. milioni 800 kwa…

Serikali yapanga kununua mitambo 15 ya uchorongaji miamba

•.Oktoba 2023 mitambo mitano itatolewa mkoani Dodoma .Sekta inachangia asilimia 56 ya fedha za kigeni Na Mwanfishi Wetu, JanhuriMedia Serikali kupitia Wizara ya Madini imepanga kununua mitambo 15 ya uchorongaji wa miamba kwa ajili ya utafiti wa kina wa Madini….

Waziri Silaa ataka wananchi kulinda maeneo ya wazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewataka wananchi kuyalinda na kuyaendeleza maeneo ya wazi kulingana na matumizi yaliyopangwa. Silaa ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki wakati alipofanya ziara ya kukagua maeneo ya…

Wizara ya Ardhi kutoa elimu nyepesi kuhusu umiliki ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema wizara yake iko mbioni kutoa elimu nyepesi kwa wananchi kuhusu hatua mbalimbali za umiliki ardhi na jinsi ardhi inavyoweza kuhamishwa kutoka mmiliki moja kwenda kwa…