JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dar yapatiwa mafunzo ya kukabiliana na athari za El Nino

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Viongozi na wataalam wa Mkoa wa Dar es Salaam leo Septemba 25, 2023 wameanza mafunzo ya siku mbili ya kujiweka sawa kukabiliana na athari zinazo weza kutokea endapo mvua kubwa za El-Nino zitanyesha siku za hivi…

Kyogo awafunda maofisa wanafunzi awapata mbinu ya kupunguza malalamiko katika jamii

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi – Dar es Salaam Jeshi la Polisi kupitia Kamisheni ya Polisi Jamii Dawati la Ushirikishwaji wa jamii Makao Makuu ya Jeshi la Polisi imetoa mafunzo kwa kundi la maofisa na Wakaguzi Wasaidizi wa…

Tanzania kunufaika na uwekezaji eneo la Sinotan Industrial Park

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaSerikali kupitia Wizara ya Wizara ya Mipango na Uwekezaji kuhakikisha wanaendelea kuweka mazingira mazuri ya kufanyabiashara na uwekezaji ili kusaidia Tanzania kukua kiuchumi. Kuhusu uwekezaji katika eneo la Sinotan amesema wanatarajia kuona uwekezaji huo utakuwa na faida…

TARURA Morogoro yaendelea kuziboresha barabara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Manispaa ya Morogoro inaendelea na matengenezo ya barabara ili wananchi waweze kusafiri kwa urahisi. Hayo yameelezwa na Meneja wa TARURA Wilaya ya Morogoro Mhandisi Mohamed Muanda alipokuwa…

Serikali ilivyodhamiria kuwarejesha faru weusi Kusini

Na Albano Midelo, JamhuriSongea Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kuona idadi ya faru Weusi inaongezeka kwa asilimia tano kila mwaka. Mratibu wa Faru kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii Philibert Ngoti amesema hadi kufikia Aprili 2023,idadi ya…