JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Zaidi ya mbwa, paka 4000 kuchanjwa Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Mbwa na Paka 4400 wanatarajiwa kuchanjwa dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha Mbwa kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha kuanzia Septemba 28,2023 ambapo hafla ya uzinduzi wa maadhimisho itafanyikia kwenye Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa…

Madaktari wazawa waendelea kupandikiza figo Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaMadaktari wazawa Hospitali ya Taifa Muhimbili wanaendelea kufanya upasuaji wa kupandikiza figo ambapo wagonjwa 12 kuanzia leo watapata huduma hiyo sita kati yao watafanyiwa Upanga kwa njia ya kawaida na sita watafanyiwa wiki ijayo huko Mloganzila kupitia…

MSD : Upatikanaji wa dawa nchini umeimarika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), Mavere Tukai amesema amesema kuwa upatikanaji wa dawa nchini umefikia asilimia 81 mwezi Juni 2023 kutoka asilimia 57 mwezi Juni 2022 jambo ambalo limechangia kurahisisha utoaji huduma nchini….

Serikali yaahidi kuboresha vituo vya forodha nchini

Na Joseph Mahumi, WF, Kilimanjaro Serikali imeahidi kuboresha vituo vya Forodha mkoani Kilimanjaro, kwa kuweka vifaa vya kisasa, kuboresha majengo ya ofisi hasa jengo upande wa mizigo (Cargo), kuboresha mazingira ya nyumba za watumishi wa kituo hicho na kuongeza vitendea…

RC Kunenge asisitiza uadilifu WCF

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani,Abubakari Kunenge ametoa rai , kwa Uongozi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF )kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu ili kuepusha upotevu wa fedha za Serikali. Alitoa rai hiyo,wakati akifungua mafunzo…

Kazi ya kusambaza umeme vijijini mwisho Desemba 2023- Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akitoa maelekezo kwa mkandarasi pamoja na wafanyakazi wake alipokagua vifaa vilivyopo katika karakana na mkandarasi huyo anayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vijiji vilivyo pembezoni mwa mji katika wilaya ya Tabora mjini, wakati wa…