JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mwalimu ashikiliwa kwa tuhuma za kuwaingizia wanafunzi vidole sehemu za siri

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia mwalimu wa shule ya msingi Mwembetogwa iliyopo Mtila Kata ya Matola Halmashauri ya Mji wa Njombe,kwa tuhuma za kuwaingizia vidole sehemu za siri na kuharibu usichana wao. Kamishna Msaidizi…

Rc Mara atishia kutumia JKT kuhamisha halmashauri

Na Raphael Okello, JamhuriMedia,Musoma MKUU wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda amewataka watendaji wakuu katika halmashauri za Wilaya ya Musoma na Bunda kuhamia katika majengo ya ofisi zao mpya ifikapo Oktoba 20, mwaka huu . Mtanda ametoa agizo hilo Septemba…

Global Education Link yawashusha presha waliokosa nafasi vyuo vikuu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL), imewataka wazazi ambao watoto wao wamekosa nafasi za kusoma vyuo vikuu  ndani ya nchi wasipate mfadhaiko wa moyo na badala yake wafike GEL…

Rasmi vijana kupatiwa fursa sekta ya madini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali kupitia Wizara ya Madini imeanisha Programu ya Mining for Better Tommorrow ( MBT) itakayo wawezesha vijana kushirikishwa katika sekta ya Madini kwa kujengewa uwezo na kupatiwa mitaji , vifaa na mashine ili wachimbe madini kwa…

Waziri Kairuki akutana na Rais wa Baraza la Utalii Duniani, wajadili kukuza utalii nchini

Riyadh, Saudi Arabia Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Utalii Duniani (World Travel Tourism Council (WTTC) , Bi. Julia Simpson kwa lengo la kujadili…

Dar es Salaam yaongoza ugonjwa kichaa cha mbwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma ZAIDI ya watu 20,000 wameripotiwa kung’atwa na mbwa kwa kipindi cha Januari hadi Agosti mwaka huu ambapo mkoa wa Dar es Salaam unaongoza ukifuatiwa na mikoa ya Dodoma , Morogoro na Arusha. Jumla ya dozi…