JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Rais Samia azindua tovuti ya hifadhi nyaraka za Dkt Salim, awapa viongozi mtihani

Na Wilson Malima JAMHURI MEDIA Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kuwa na utamaduni wa kutunza kumbukumbu za maisha yao kwa manufaa na mchango kwa vizazi vya sasa na vya…

Majaliwa awatwisha mzigo MADC usimamizi wa mashine EFD pamoja na mabaraza ya biashara

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ,ametoa agizo kwa wakuu wa wilaya nchini kuhakikisha wanashirikiana na mamlaka ya mapato (TRA) kusimamia na kufanya ukaguzi wa mashine za EFD endapo ni halisi na sio za maghumashi ili kuepusha…

Mbunge Prof. Muhongo na wadau wafanikisha harambee ujenzi wa Etaro sekondari kisiwa cha Rukuba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Musoma Vijijini MBUNGE wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof. Sosepter Muhongo kwa kushirikiana na viongozi wakiwemo wakuu wa Wilaya ya Musoma na Halmashauri yake (Musoma DC), waemeendesha harambee ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Etaro, ambayo…

Wananchi Momba, Songwe waipongeza TARURA kwa ujenzi wa barabara Ikana – Iyendwa-Namchika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Momba Wanachi wa Wilaya ya Momba mkoani Songwe wameeleza kufurahishwa kwao na ujenzi wa Barabara ya Ikana – Iyendwa – Namchika yenye urefu wa kilomita 33 ambapo hapo awali ilikuwa haipitiki na kusababisha adha kubwa ya…

Njia ya matundu kutumika upandikizaji figo Mloganzila

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila itafanya huduma ya kibingwa na Bobezi ya Upandikizaji figo…