JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tanzania kupokea ndege kubwa ya Masafa ya kati kesho

Na Wilson Malima Dar es Salaam. Shirika la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kupokea ndege ya abiria ya masafa ya kati aina ya B737-9MAX ambayo uundaji wake umekamilika itakayowasiri kesho Oktoba 03, 2023. Ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 181…

Migodi midogo Geita kuunganishwa umeme wa REA

Na Lilian Lundo na Veronica Simba, JamhuriMedia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA) tayari ameanza kazi ya kuunganisha umeme kwenye migodi midogo midogo wilayani Geita, ili kuwapunguzia gharama za…

Serikali kufungua shamba la miwa Muhukuru, Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama (MB) wa Peramiho amesema Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Songea imedhamiria kufungua shamba kubwa la miwa na kiwanda cha…