JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Kunenge awaasa wakulima wa korosho kulima kilimo chenye tija

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mkuranga Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakar Kunenge ,amewaasa wakulima wa zao la korosho ,kuhakikisha wanalima kilimo cha kisasa chenye tija ili kupata korosho zenye ubora na kujiongezea kipato. Aidha ametoa rai kwa wataalamu wa kilimo…

Serikali yaja na mpango wa kusimamia maendeleo ngazi ya kata

Na WMJJWM-Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Ofisi ya Rais TAMISEMI imeandaa mpango mkakati wa kusimamia maendeleo kuanzia katika ngazi ya Kata utakaoshirikisha wananchi kuwajengea uwezo wa kushiriki na kufuatilia utekelezaji wa…

Waziri Silaa akerwa mfanyabiashara kusumbuliwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Moshi Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza mmiliki wa mgahawa unaojulikana kama Fresh Restaurant uliopo Manispaa ya Moshi asisumbuliwe na badala yake asaidiwe ili aweze kulitumia eneo lake kulingana na matumizi…

Mabaharia Tanzania kutambulika zaidi kimataifa

Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia SERIKALI kupitia Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), imeendelea na juhudi za kuwafungulia fursa mabaharia wa Tanzania kimataifa. Juzi, kwa niaba ya Serikali TASAC ilisaini Hati ya Makubaliano (MOU) na nchi ya Barbados ili nchi…

Taasisi ya Umoja wa Mataifa yakabidhi magari kwa Jeshi la Polisi kuimarisha usalama

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Nchini leo Oktoba 05, 2023 limekabidhiwa msaada wa magari Manne aina ya Nissan Patrol toka Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia mabaki ya shughuli za Mahakama za Makosa ya Jinai – IRMCT yenye ofisi…

Chongolo: Mawaziri watatu kuhusika fidia mradi wa umeme Tabora – Katavi

,Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema atakutana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Nishati na Wizara ya Fedha, kwa ajili ya kutatua changamoto ya malipo ya fidia ya…