JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Hospitali ya Tanga Jiji yapokea vifaa tiba vyenye thamani ya mil.250/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Uongozi wa Hospital ya Tanga jiji umeishukuru serikali kupitia MSD kwa kuendelea kuwapatia dawa na vifaa tiba kwa wakati jambo ambalo limeongeza tija katika utoaji huduma za afya kwenye hospitali hiyo. Akizumgumza mara baada ya…

Chongolo ‘ aweka mguu chini’ kuukwamua mradi wa umwagiliaji uliokwama miaka 16 Katavi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Godfrey Chongolo leo Ijumaa Oktoba 6, 2023 amekagua Skimu ya Umwagiliaji ya Ugalla katika Kijiji cha Katambike, wilayani Mpanda, ili kuuwekea mpango wa kuukwamua, baada ya mradi huo…

NSSF wakabidhi msaada wa mashuka Hospitali ya Mkoa Ruvuma

Na Cresensia Kapinga, Jamhurimedia, Songea MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Ruvuma, umekabidhi mashuka katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma (HOMSO) yenye thamani ya zaidi ya sh.milioni 1.5 ili kuwasaidia Watanzania na wadau wa mfuko huo…

Mipango ya kupima viwanja iendane na miundombinu – Waziri Silaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wataalamu wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha mipango yote ya kupima viwanja inaendane na miundombinu ya maeneo husika. Silaa ametoa maagizo hayo Oktoba 6,…

Kampuni binafsi za upimaji ardhi kikaangoni

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kampuni zote zilizopewa kazi za upimaji wa viwanja kwenye Jiji la Dodoma na zimeshindwa kukamilisha kazi hiyo, ziwe zilikuwa na mikataba ama hazikuwa na mikataba zichukuliwe hatua kali za kisheria kutokana na…

Serikali yawataka wawekezaji kuhodhi maeneo yaliyotengwa kwa uwekezaji Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI mkoani Pwani, imeagiza wawekezaji wanaohitaji kuwekeza mkoani humo wahakikishe wanahodhi maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji pamoja na kongani ,ili kuepuka kufanyiwa utapeli na kununua maeneo yaliyo kwenye migogoro ya ardhi. Aidha halmashauri za…