JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali kuongeza wodi maalum 100 za uangalizi wa watoto njiti

Na WAF Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya katika kuboresha Huduma za afya nchini imejenga wodi maalum za uangalizi wa watoto njiti 128 na kwa mwaka huu imepanga imepanga kujenga wodi nyingine 100 ili kuhakikisha vifo vya watoto wachanga vinapungua…

NMB yatoa madawati 200, viti, meza za mil. 25/- Kibaha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali kusimamia upatikanaji wa elimu bora na mazingira rafili ya utoaji huduma hiyo mijini na vijijini, Benki ya NMB imetoa msaada wa madawati, viti na meza kwa shule…

Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya reli

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kulinda usalama wa miundombinu ya reli inayoendelea kujengwa na serikali kwa mabilioni ya fedha ili kuepusha uharibifu unaofanywa na watu wasio na nia njema. Wito huo umetolewa jana na…

Serikali kulipa madeni ya wakandarasi

Serikali imeahidi kulipa deni la Sh bilioni 167 la Wakandarasi wazawa pamoja na wa kigeni. Deni hilo limetokana na ujenzi wa miradi mbalimbali katika maeneo tofauti. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa wakati alipokuwa akizungumza na wakandarasi…

Mavunde amaliza mgogoro wa wachimbaji wadogo Chamwino

Waziri Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amemaliza mgogoro wa wachimbaji wadogo wa madini uliodumu kwa mwaka mmoja katika Kitongoji cha Mafurungu ,Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma. Akizungumza katika Mkutano na wachimbaji wadogo hao, Mavunde amesema kuwa serikali kupitia Wizara ya…

RC Tabora awashauri wakulima kuchangamkia kilimo cha kisasa

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Wakulima nchini wametakiwa kuzingatia kanuni za kilimo bora na kufuata maelekezo ya wataalamu ili kuwa na kilimo chenye tija. Ushauri huo umetolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt Batilda Burian alipokuwa akifungua…