JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Simbachawane : Elimu inaongeza uwezo wa kuchambua mambo kisayansi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la  Kibakwe, Mhe.George Simbachawene amewasihi wanafunzi kusoma kwa bidii na kuacha kujidanganya kuwa elimu kwa sasa haina umuhimu kwa kuwa…

NMB yawahakikishia wafanyabiashara uimara wa kukopesha mteja mmoja zaidi ya bil. 300/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia BENKI ya NMB imewahakikishia Wafanyabiashara wakubwa Kanda ya Dar es Salaam wanaohudumiwa na taasisi hiyo, kuwa iko imara kipesa kukopesha mteja mmoja zaidi ya Sh.Bil. 300 na hii ni kutokana na kukua kwa mtaji wa benki…

Mume mbaroni kwa kumuingizia panga mke sehemu ya haja kubwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara lina mshikilia mwanaume mmoja jina limehifadhiwa (56), Muislamu na mkazi wa Kijiji cha Makong’onda Wilaya ya Masasi Kwa tuhuma za kumjeruhi mke wake Kwa kumuingizia panga sehemu ya haja kubwa….

Vijiji 6 vyasalia kuunganishwa umeme Singida

Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema katika Jimbo la Singida Kaskazini Vijiji 6 vimesalia kuunganishwa na umeme kati ya vijiji 84 vya jimbo hilo. Amesema hayo wakati akisalimia wananchi katika Kijiji cha Sagara, wakati wa ziara ya Rais…

Serikali ya Rais Samia na mpango wa kubadili fikra, mitazamo na utendaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedua, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita inayooongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, imelenga kubadilisha fikra, mitazamo na utendaji wa wataalamu ngazi ya Msingi ili wananchi wawe kitovu cha maendeleo…