JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wanahabari wa Afrika watakiwa kuisaidia Afrika

Na Immaculate Makilika – MAELEZO, Misri Wanahabari wa Afrika wametakiwa kubadili mitazamo yao kuhusu fursa zilizopo Afrika ikiwa ni pamoja na kulisaidia bara hilo. Akizungumza na Wanahabari kutoka nchi za Afrika wakati akifungua Mafunzo kuhusu Utangazaji kwa nchi za Afrika…

Milioni 950 zaokolewa kwa watoto 37 kufanyiwa upasuaji Tanzania

Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeokoa kiasi cha shilingi milioni 950 ambazo Serikali ingetumia kama watoto 37 wenye magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo wangepelekwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu hayo….

Huduma ya kuweka puto sasa inapatikana kote MNH- Upanga & Mloganzila

Baada ya kuimarisha huduma mbalimbali ikiwemo kuweka puto Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa watu wanaopenda kupungua uzito sasa huduma hii pia imeanza kutolewa MNH-Upanga. Hayo yamezungumzwa mwishoni mwa wiki na Daktari Bingwa Mbobezi wa Upasuaji Mfumo wa Chakula, Ini na…