JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Makamba awasili Algeria kushiriki mkutano wa 20 wa Mawaziri

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, amewasili nchini Algeria kushiriki Mkutano wa 20 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Nordic ulioanza leo Oktoba 16 – 18 2023, Jijini Algiers,…

Rais Samia : Singida haitashuka asilimia 97 upatikanaji wa umeme Desemba 2023

Shilingi Bilioni 72 kutekeleza miradi ya umeme mkoani humo Zuena Msuya na Mayloyce Mpombo, Singida Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo mwaka 2024 Mkoa wa Singida hautashuka asilimia 97 ya upatikanaji wa…

Mbeto : Miaka mitatu ya Rais Mwinyi imeandika historia mpya Z’bar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis, amesema kuwa miaka mitatu ya uongozi wa Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi, inaiweka Zanzibar katika orodha ya nchi za…

Klabu ya Rotari Dar es Salaam Mzizima wampa tuzo ya umahiri Prof. Janabi

Klabu ya Rotari Dar es Salaam-Mzizima leo wamempa tuzo ya umahiri Prof. Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili ikiwa ni ishara ya kutambua utendaji wake mahiri na mchango katika jamii hususani kwenye sekta ya afya. Tuzo hii…

Watatu wakiri kumuua mfanyabiashara na kuchukua mil 1.8/- Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya Baraka Markusi Nyangala (30), mfanyabiashara na mkazi wa mtaa wa Kasisiwe Manispaa ya Sumbawanga. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa…