JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TANROADS Pwani yaanza matengenezo kinga kujihadhari na mvua za El nino -Mhandisi Baraka

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAKALA wa Barabara mkoani Pwani (TANROADS), imeanza kuchukua tahadhari ya ujio wa mvua ya el nino ikiwa ni hatua za awali kufungua kingo katika madaraja 318 na makaravati 1,540. Akitembelea kuona kazi zinazofanywa kwenye baadhi…

MAIPAC yaeleza changamoto za jamii za pembezoni mkutano wa Afrika

*Kuendelea kushirikiana na Serikali , wahisani na Asasi za Kiraia Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,[email protected] Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC ) imeeleza changamoto za kihistoria za Jamii za pembezoni nchini na kueleza itaendelea kushirikiana na Serikali na wahisani…

Maji ya SUMAJKT yatinga hadi majumbani

Na Alex Kazenga Dar es Salaam. Kampuni ya SUMAJKT Bottling Co. Ltd inayozalisha maji ya Uhuru Peak Pure Drinking Water, imetanua bidhaa hiyo na sasa kiwanda hicho kitazalisha hadi maji makubwa kwa ajili ya maofisini na majumbani. Kiwanda hicho kilichopo…

Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa Chuo cha VETA Igunga mkoani Tabora

VYUO 64 vya Ufundi Stadi (VETA) vitajengwa nchi nzima, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mipango ya serikali kujenga vyuo hivyo kila wilaya nchini. Hayo yamesemwa leo Oktoba 17, 2023 na Rais Samia Suluhu Hassan katika hafla ya kuweka jiwe…