JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tanzania, Austria kushirikiana elimu ya ufundi, utalii, biashara na uwekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Austria zimekubaliana kuimarisha sekta za elimu ya ufundi pamoja na utalii. Makubaliano hayo yameafikiwa katika Mkutano wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Angelah…

Mchengerwa ataka DART iongeze watoa huduma ili kuboresha huduma ya usafiri Dar

OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameelekeza Uongozi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuongeza watoa huduma ili kuboresha huduma ya usafiri wa haraka kwa wananchi wa Dar…

Rais Samia: Dhamiara ya kubadilisha bomba la mafuta TAZAMA, kujenga bomba jipya la gesi iko palepale

Na Wislon Malima, JAMHURI MEDIA Lusaka Zambia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema wataendelea na dhamira ya kubadilisha Bomba la Mafuta lililopo la Tanzania-Zambia (TAZAMA) na kujenga bomba jipya la gesi asilia kutoka Dar…

Prof.Janabi: Wataalamu sekta ya afya wanahitaji msaada wa ujuzi na maarifa kuliko aina nyingine ya msaada

Na Mwandishi Wetu, JamburiMedia Wataalamu wa sekta afya wanahitaji msaada wa ujuzi na maarifa kuliko aina nyingine ya misaada kwa kuwa itasaidia kusambaza maarifa hayo kwa vizazi na vizazi na hatimaye kusaidia kuokoa maisha. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Asasi za Kiraia zaiangukia Serikali kuwepo kwa sheria rafiki

Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media,Arusha Wakati dunia ikiingia katika teknolojia mpya ya akili bandia, Asasi za kiraia nchini zimeiomba Serikali kutunga sheria rafiki zitakazowezesha kuleta maendeleo kwa haraka kupitia teknolojia hiyo badala ya kutunga sheria zitakazominya kasi ya kuleta maendeleo…

Rais Samia ashiriki maadhimisho miaka 59 ya Uhuru wa Taifa la Zambia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema Ikulu Jijini Lusaka kabla ya kwenda kuhudhuria Sherehe za miaka 59 ya Uhuru wa nchi hiyo tarehe 24 Oktoba,…