JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Rais Mwinyi atoa miezi mitatu kwa wafanyabiashara, wajasiriamali kutolipa kodi kwa halmashauri

Na Haji Mtumwa, JamhuriMedia, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa miezi mitatu bure kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wa mkoa wa Kusini Unguja kufanya biashara zao bila kulipia kodi kwa halmashauri ya…

Dk Yonazi : Jitihada za Serikali na wadau zachangia kuimarika kwa hali ya lishe na kupungua viwango vya utapiamlo nchini

Na Mwandishi Wetu, JamburiMedia, Arusha Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema Utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Pili wa Masuala ya Lishe wa mwaka 2021-22-2025/26 umekuwa na mafanikio makubwa kutokana…

Tanzania na Zambia zaingia makubaliano ya ushirikiano katika maeneo haya

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Lusaka Zambia Tanzania na Zambia zimeingia makubaliano katika maeneo mnne ya ushirikiano na mikataba mnne ya miradi mbalimbali. Mikataba hiyo na hati za makubaliano zimesainiwa mbele ya Rais Samia na Rais Hichilema wa Zambia katika…

TARURA yawaunganisha wananchi Wilaya ya Ruangwa na Liwale

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), mkoani Lindi imekamilisha ujenzi wa daraja la Mbwemkuru lenye urefu wa mita 75 na kufungua barabara ya Ruangwa-Nangurugai- Kiangara-Mirui-Mbwemkuru yenye jumla ya Km 65. Meneja wa TARURA…

Sekta ya madini nguzo muhimu ya maendeleo ya nchi

#Mazingira Uwekezaji Sekta ya Madini, sasa njia nyeupe Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Imeelezwa kuwa, Sekta ya Madini ni nguzo muhimu na chachu ya maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia rasilimali madini iliyopo nchini. Hayo yameelezwa leo Oktoba 25, 2023 na…