JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Naibu Waziri Mwanaidi : Serikali kutekeleza jitihada zinazolenga usawa wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamis amesema Serikali inaendelea kuwekeza na kutekeleza jitihada mbalimbali zinazolenga kujenga jamii yenye usawa wa kijinsia. Mwanaidi ameyasema hayo Oktoba 29, 2023…

Dk Tulia awashukuru Watanzania kutokana na ushindi wake wa IPU

Na Dotto Kwilasa,Jamhuri jamhuriMedia, Dodoma Spika wa Bunge na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson amewasili Jijini hapa leo Oktoba 30,2023 akitokea jijini Dar es Salaam na kulakiwa na vingozi mbalimbali wa chama na Serikali pamoja…

MSD yakabidhi vifaa tiba vya mil. 200/- kwa kituo cha afya cha Kifanya Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe BOHARI ya Dawa (MSD), Kanda ya Iringa imekabidhi vifaa tiba katika kituo cha afya cha Kifanya Halmashauri ya Mji wa Njombe mkoani humo vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200. Kituo hicho cha afya…

Muhimbili yaendesha mafunzo ya Kimataifa ya upasuaji wa sikio

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili imezindua mafunzo ya kimataifa ya awamu ya tatu ya upasuaji wa sikio na upandikizaji wa vifaa vya kusaidia kusikia (Cochreal Implant) kwa watu wanaozaliwa na changamoto ya kusikia. Mafunzo hayo yanajumuisha washiriki…

Dk Biteko afungua semina ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu Mkataba wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati Jadidifu

✔️Aeleza faida zake kwa Taifa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefunga Semina ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambayo ililenga kuwapa uelewa Wajumbe wa Kamati hiyo kuhusu Mkataba wa Wakala…

Saba akiwemo Mkanada wadakwa, tuhuma za utekaji nyara Dar es Salaam.

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA,Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa 7 akiwemo raia wa Canada kwa tuhuma za kupanga njama, kumtishia kwa silaha, na baadae kumteka mwanamke aliyefahamika kwa jina la Hani…