JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Chalamila ataka kasi ukusanyaji mapato Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Oktoba 31,2023 ameongoza kikao maalum cha tathimini ya ukusanyaji mapato katika Mkoa huo kwa kipindi cha robo mwaka wa fedha 2023/2024 ambacho kimefanyika katika ukumbi…

Serikali : Uzalendo kigezo kusimamia dawati la kupinga ukatili vyuoni

Na WMJJW JamhuriMedia, Iringa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju amewataka Wakuu wa vyuo Vya Elimu ya Juu na Kati kuteua Waratibu Dawati la Jinsia waadilifu, katika kutatua changamoto za…

Askari wanawake watakiwa kuongeza idadi ya washiriki wa ulinzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, Jeshi la Polisi-Dar es Salaam Askari wanawake watakiwa kuwa mstari wa mbele katika kushiriki misheni za kulinda amani katika mataifa yenye changamoto za kiusalama. Hayo yamebainishwa jijini Dar es salaam katika maadhimisho ya 23 ya adhimio la…

TMDA yawanoa wadhibiti wa vifaa tiba barani Afrika juu ya Tathmini ya vifaa tiba vya mama na mtoto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba Nchini (TMDA) inaendesha mafunzo ya siku tatu Jijini Dar es Salaam ya kufanya tathmini ya udhibiti wa vifaa tiba vya Wamama, Watoto wachanga na Watoto kwa wataalam wa vifaa tiba…

TCAA atolea ufafanuzi kuhusu kibali cha ndege iliyokodiwa na CHADEMA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema katika siku za hivi karibuni, hakuna chama chochote cha siasa ambacho kimeomba kibali cha kuingiza ndege nchini hayo yamesemwa leo wakati wa kutolewa kwa ufafanuzi wa habari iliyosambaa kuhusu kibali cha ndege…

Katibu Mkuu TALGWU awapongeza wanachama kusimamia mipango miji

Na Zephania Kapaya, JamhuriMedia, DodomaKatibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU), amewapongeza wanachama kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kusimamia ipasavyo suala la mipango miji, changamoto za ukuaji wa miji pamoja na kuchangia maendeleo endelevu katika Nchi…